Isaac Malawi
Rais wa Marekani Donald Trump amaeahidi kile alichokitaja kuwa nyongeza ya kihistoria kwa bajeti ya jeshi la Marekani.
Maafisa wa ikulu ya White House wanasema kuwa bajeti ya ulinzi nchini Marekani itaongezeka kwa dola bilioni 54, ikiwa ni karibu asilimia 10.
Post a Comment